Groupe Évangélique de la Parole de Jésus GEPJ

Groupe Évangélique de la Parole de Jésus GEPJ Group Évangélique de la Parole de Jésus GEPJ

OH MON DIEU ! PROTÈGE MON PAYS DE TOUT MAUVAIS ESPRITS,PROTÈGE MES PARANTS, EMPÊCHE TOUT LES ACCIDENTS CONTRE EST.BÉNI M...
30/11/2020

OH MON DIEU ! PROTÈGE MON PAYS DE TOUT MAUVAIS ESPRITS,

PROTÈGE MES PARANTS, EMPÊCHE TOUT LES ACCIDENTS CONTRE EST.

BÉNI MON PAYS :
BÉNI TOUT LES CONGOLAIS QUI SONT DANS LE PAYS ET EN-DEHORS DU PAYS.

DONNÉ NOUS UNE BONNE NOUVELLE ANS.

KIBURI NA MAJIVUNO YA MWANADAMU NIKITU BURE
17/11/2020

KIBURI NA MAJIVUNO YA MWANADAMU NIKITU BURE

Enseignement supérieur

KIBURI AMBACHO KINA KUSUMBUWA NI KITU BURE,SIFA AMBAZO ZINA KUTESA MPAKA UNAFIKA KU ATUWA YA KUONA WATU HAWAFAYI KWAKO, ...
17/11/2020

KIBURI AMBACHO KINA KUSUMBUWA NI KITU BURE,

SIFA AMBAZO ZINA KUTESA MPAKA UNAFIKA KU ATUWA YA KUONA WATU HAWAFAYI KWAKO, NI KITUBURE,.

MAJIVUNO AMBAYO UME FANYA KUWA FIMBO YAKO, NI KITU BURE,.

CHUKI AMBAYO UME YAONA KUWA FIMBO YA KUTEMBELEYA KWAKO, NIKITU BURE.

IKO SIKU AMBAYO PESA, GARI, NA MANYUMBA UNAZO, VITA BAKI KANDO, HATA NAWEWE UNA KWENDA NAFASI YAKO.

MPENDWA; KWA HIYO NAKUOMBA: ©KUMPEDA KILA MUTU,
©KU HESHIMU KILA MUTU,
©KUSIKILIZA KILA MUTU.
KAMAVILE MUNGU WA MBINGUNI AMETUAGIZA.

MUNGU AKUBARIKI, NA KUWEZESHE WEWE AMBAYE UMESO NA KU GAWA KWA WENGINE.

mutumishi wa Mungu WETESHE YOSHUWA NELSON.

10/09/2020

BONSOIR CHERS PAPA RESPONSABLE !,.

KWANINI KU CHUKIYA SOSI AMBAYO UME KUTA MUKE WAKO AME KU ANDALIYA, NA KUFATA SOSI ZA WANAWAKE WA GENI?

JE, HUJUWI KWAMBA MSOSI UNA NUNULIWA KWA BEYI KALI?

UME MWACHIYA MUKE WAKO PESA YA KU NUNUWA NDAKAA NA NYANYA PEKEYAKE , ILA WATAKA AKUANDALIYE NYAMA, HIYO SI VIZURI, FIKIRI TENA ZAIDI, NA ONGEZA PESA UNAPOTAKA SOSI NZURI, TOWA NA PESA NYINGI.

UZURI UNA BEYI KALI:

KWANINI KU MUCHUKIYA MUKE WAKO, ETI ANA ZEHEKA, KWA KUVAA VIBAYA, UNA MALIZA PESA KWA MAKAHABA UKI WA TENGENEZA NYOLE ZAO, NA KU WANUNULIYA MAVAZI YA BEYI KALI, UKIZANI WAO NI WA REMBO NA WA ZURI KULIKO MUKE WAKO?, UNA FANYA VIBAYA.

MUKE WAKO ALIPO KUBALI KU OLEWA NA WEWE AMEKUFANYA WEWE UWE MUFALME, NA KUKU HESHIMISHA KATIKA JAMAA YAKE NA KWA MARAFIKI ZA KWAKE, NA PAHALIPOTE UMEJULIKANA KUWA RESPONSABLE, KWANINI USI MUPENDE NA KU MUHESHIMISHA PIYA?.

Homme de Dieu WETESHE yoshuwa NELSON.

Je me souviens cette belle nouvelle journée passée dans ma vie,(le jour de mon mariage) que mon Dieu soit louée éternell...
13/06/2020

Je me souviens cette belle nouvelle journée passée dans ma vie,(le jour de mon mariage) que mon Dieu soit louée éternellement.
Bien aimé crois à Dieu il te montrant un jour, une belle journée dans ta vie.

Une belle journée ce avoir quelques choses de nouveau dans la vie.
Homme de Dieu WETESHE yoshuwa NELSON

Il ne faut jamais se moqué de Dieu, car tout ce qu'il fait dans notre vie, lui connaît pourquoi.Voici Dieu ma fait rire,...
08/06/2020

Il ne faut jamais se moqué de Dieu, car tout ce qu'il fait dans notre vie, lui connaît pourquoi.

Voici Dieu ma fait rire, quoi que les surcostansses que le monde traverse, il me donne un fils aîné, qui a le nom de

24/03/2020

WATOTO WA MUNGU, USIJIWEKE HATARINI,
CORONA VIRIS NI TAYARI KWA KUHARIBU MWILI.

USISAHAU YAKWAMBA HIYI NI YA MUDA KITAMBO,

TUWE NAIMANI YA KWAMBA MUNGU ANA WEZA YOTE.

TUFATE SHAURI NA MIPANGO AMBAYO TUMEPEWA NA WAKUBWA WA INCHI ZETU.

WARUMI13:1-3

WA PENDWA MUNGU NI MUNGU WA WALIO HAYI,

TUOMBE MUNGU POPOTE TUTAKAO KUWA ILI MARAZI HII ISIKUFIKIYE, KWANI TUTA SHUHUDIYA MATENDO MAKUBWA AMBAO TUMEYAONA.

TUSI JIWEKE HATARINI,
MUNGU ANATUPENDA SISI AMBAO BADO HATUJA SHIKWA NA MARAZI HAYA.

MUNGU NI MUNGU WA WALIO HAYI.

MUTUMISHI WA MUNGU WETESHE YOSHUWA NELSON.

Depuis DRCONGO ville de Goma.

Partager SVP.

21/03/2020

BONJOUR PEUPLES DE DIEU,

JE VOUS APPEL SOUVENT PEUPLES DE DIEU TOUS, PARCEQUE QUAND DIEUX À AIMÉ LE MONDE IL A DONNÉ SON FILS UNIQUE POUR LE SAUVÉ.

DIEU LUI MÊME DIT: QUI CONQUE CROIS À JÉSUS CHRIST, JE LUI DONNE LE POUVOIR D'ÊTRE APPELLE ENFANT DE DIEU.

LA MALADIE CORONA VIRIS ATAQUE LE MONDE ENTIÈR.
ALORS LES HOMMES ONT DÉJÀ DIT BEAUCOUP PLUS DE CETTE MALADIE.

LES AUTORITÉS DES PAYS PRESQUE AU MONDE ENTIÈR, ONT PRIS À DÉCIDÉ DES :
@ FERMÉ LES ÉCOLES,
@ FERMÉ LES BARS ET RESTAURANTS,
@ FERMÉ LES ÉGLISES,
POUR MOTIFS DE PROTECTION, DE CETTE MALADIE,

MAIS LES GAENS SONT ENTRÉ D'ÊTRE CONTAMINÉS ET LES AUTRES ENTRÉ DE MOURIR DU JOUR AU JOUR,
PARCEQUE SONT DES HOMMES QUI ONT PRIS CETTE DESSISION DE PROTECTION.

SOUVENEZ VOUS LA SAINTE BIBLE DI:QUI CONQUE PROTÈGE SANS DIEU, IL FAIT EN VEU.

JE VOUS ASUR MR. LE MONDE QUE DIEUX NA PAS ENCORE PARLER QUELQUES MOTS DE CETTE MALADIE.

MAIS, SOUVENEZ VOUS, QUE CETTE MALADIE ET CETTE ACTION D'INTERDICTION DE CULTE EST PARMI LES SIGNES DANS LES SIGNES DU RETOUR DE JÉSUS CHRIST AU MONDE.

ÉCRIT PAR (HOMME DE DIEU WETESHE YOSHUWA NELSON) DEPUIS GOMA/RDC.

QUE DIEU NOUS PROTÈGE TOUS,

AU NOM DE JÉSUS CHRIST.

09/02/2020

CHERS AMIS CHRETIEN, BONJOUR !!!,

NES DIT PAS MAL À QUELQU'UN OU INJURIÉ QUELQU'UN CAR LES INSULTES SONT DES PÉCHÉS.

SUR LES RÉSEAUX SOCIAUX : FACEBOOK, WAHTASP, TWITTER, TÉLÉVISION, RADIO ETC..., C'EST LAPLACE OÙ ONT CONNAIS QUELQU'UN DE CE QU'IL EST. SOIT IL EST CHRÉTIEN ( E), SOIT IL EST PAYÉE, SOIT IL EST IMPOLIE, SOIT IL EST ÉDUQUÉ OU NON ÉDUQUÉ.

SVP. CHERS COLLÈGUES EN JÉSUS CHRIST, NES POSTÉ PAS N'IMPORTE QUOI SUR TON CONPTE.

NE PUBLIE PAS N'IMPORTE QUEL PUBLICATION A TON COMPTE.

CAR DIEU EST PAR TOUT, ET DIEU UTILISE LES HOMMES.

MERCI POUR LA COMPRÉHENSION.
Aimé et partager aux amis...

Cerviteur de Dieu WETESHE yoshuwa NELSON.

01/02/2020

BONJOUR PEUPLES DE DIEU !!!,
MUBARIKIWE KATIKA JINA LA YESU KRISTO.
Watu wengi wanataka wajifanyie na ku jijengea amani, Lakini wame sahau njia iliyo amani ya kweli" Yesu Kristo".

©Utamuona dereva Tax,ana weka sentire de sécurité (mukaba wa ukingo) kwenye kifuwa chake, amesha kunywa pombe, ametoka kwa makahaba, na hakumbuki kutubu hiyo zambi kabla ya ku pandia Gari lake.
Lakini akifanya ajali(accident) hiyo sentire de sécurité ( mukaba wa ukingo) hai muzuwiye kuumiya ao kwa kufa.

© MOTAR: Utamuona mortar ame vaa kofiya ya ukingo kichwani ( casque) na ku ifunga vizuri, Lakini ametoka kwenye viumba ya ulevi( Ngada) amelewa, na wengine kwenye ma chumba ya wa kahaba, ana vaa casque ili roulage asi mufunge, yani wa motard wengi wana ogopa roulage kuliko Mung,lakini wame sahabu k**a YESU Kristo ame waona,hawataki kutubu zambihiyo mbele ya Mungu.
Wapendwa acheni zambi.

©CAPITENE DE BOTH ET DE BATEAU :Utamuona hawa watu wame vala ma jilé de sauvetage( nguo Ya okovu) wa kizani,Labuda Tukizama tuokolewe, lakini wamepanda ndani ya Both ao Bateau ⛵ na labuda wame jilewesha kwa pombe, na wengine wao wametoka katika viumba via makahaba, na wengine wao Wana himiri kutoka ngambo wakiwa wame pakiza kahaba katika Both ao Bateau kusema tutakapo fika tuna fanya usharati, Watu K**a nahao wame sahau kwamba YESU Kristo ndiye sauveur na Yeye anaona mahali popote.
© PILOTE : Hawa watu wako katika hatari nyingi Sana, lakini kwa kutokujuwa, Wana weka Sana tahazari kubwa kuto kusafiri katika ndege pasipo kuweka mukaba wa ukingo( sentire de sécurité) ili wa kingwe angani, wame sahabu yakwamba Mungu ndiye Muomba wa anga, nao piya wamoja wao nawajiwekeya makahaba na kuwalipiya nauli ili watakapofika wa tembeye nao kwa njia yaukahaba, wamesahabu yakwamba Mungu Ana ina mahalipote, na akitaka hiyo ndege ( Avion) inaweza ku anguka kwaajili ya ku muchukiza.
Wapendwa Mungu ndiye kingo la mwanadamu.
©WA KUU WA JESHI NA SERIKALI:
Hawa niwatu wa maana katika taifa, nao utawaona hawajiachililie na kujiwekeya ma garde corps, acha ni kwambie Ya kwamba hiyo nisifatu za hapa duniyani, lakini YESU Kristo ndiye muchungaji mwema.
Utawaona ma asikari Wana chaguwa pombe kuwa kinywaji Chao kipenzi, na wake wasio wandowa zao, wapendwa maaskari acha zambi.
YESU Kristo Ni mulangoni, tupo kwenye saa ya magaribi na asubuyi ni karibu.
Nivizuri ku gawa ujumbe hii kwa wengine, kwa marafiki, na group.
Mungu Akubariki wewe ambaye ume soma naku gawa ujumbe huu..
Mutumishi wa Mungu WETESHE yoshuwa NELSON.

TUFURAHISHE WAKE WETU KWA WAKATI WOWOTE ULE,KWANI TUTAPEANA FURAHA SISI KWA SISI.
29/01/2020

TUFURAHISHE WAKE WETU KWA WAKATI WOWOTE ULE,

KWANI TUTAPEANA FURAHA SISI KWA SISI.

24/01/2020

Thème : SIKU,SIRI YA MAÏSHA

Lecture : Muhubiri 7:14
Prédicateur : WETESHE yoshuwa NELSON.

Wakati mtoto amezaliwa, wanamemba wajami wana furahi, lakini pia wengine wana weza chukiya;
Mpendwa wale ambao walichukiya, hawakutaka wazazi wako wazae,
Lakini kati ya wale ambao walifurahi na wale ambao walichukia Hakuna hata mumoja wao ambaye alijuwa mipango ya Mungu katika maïsha yako. Hata na wewe pia hujuwi Mungu ana mupango gani na wewe.
Siku yako ya kukufa, watu Wana weza chinja ma ngombe ao ma mbuzi Wana kula na kukunywa, wa moja wanafurahi sikuyako ya kukufa na wengine wana huzunika.
Lakini Hakuna hata mumoja ambaye ana weza kuja mahali ambapo maiti yako ina lala na kukukwambiya " felicitation" kifo yako ili pitikana vizuri.
Nihivyo hivyo K**a chakula ilikosekana kukilio yako,Hakuna mwenye atakuya kukwambiya "pole Sana ndugu" kwani ulikufa siku ya crise.

Mpendwa katika Kristo; siku yako ya kufanyikiwa( ku barikiwa), furahi, kula, kunywa, cheza, na shukuru Mungu. Lakini usi jikoroganishe na Mungu wako, ao usi fanye zambi kwasiku ile kwaajili ya furaha .

Marko 7:21-22
Haiwezekane mtu ambaye iko katika zambi kupata furaha, kwa sababu zambi; ina mutenganisha mutu na Mungu, ijapokuwa Mungu ndiye furaha yakweli na ya ku dumu.
>
Sikuyako ya kufanyikiwa ao siku ya kubarikiwa kwako usijitenganishe ao ku acha marafiki zako na usijitenge na wale ambao bado hawaja barikiwa, kwa maana Mungu anapo bariki mutu, Ana andaa pia na watu wa kukula kwa zile Baraka.
K**a tayari ume Pata Mali, nivizuri kuchangia naule mwenye hayapata, kwa sababu >,
Matayo 5:6 " Henri wenye njaa na kiu kwa haki, maana wao wata shibishwa".

WARUMI 12:15" Furahini pamoja nao wanao furahi, lieni pamoja nao wanaoliya".

(1 petro 4:9)" Mukaribishane ninyi kwa ninyi pasipo kunungunika".

( Luka16:19-25) mutu mwenye Mali mingi na masikini.

Bien aimé, usikate tama kwa sababu hauyapata, kwani keshoyako ni siri kubwa, ambayo Hakuna hata mumoja ambaye anayajuwa.

Yusufu kuinuliwa kwake kulianzia kwa ku uzishwa na ndugu zake,
Yusufu aliingiya gerezani, lakini mwisho Ali kubaliwa k**a premier ministre.
Kuinuliwa kwamutu maramingi kuna anzia mu mazarau.
YESU Kristo wakati amezaliwa; Mungu pekeyake ali mutokeya yusufu na ku mwambia: wende haraka umufiche mtoto na mama yake, ijapokuwa yeye Ni Mwana wa Mungu, Tena mufalme wa wafalme.
EV. WETESHE yoshuwa NELSON

Adresse

WETESHE Yoshuwa NELSON
Goma
GEPJ

Téléphone

+243976887935

Site Web

Notifications

Soyez le premier à savoir et laissez-nous vous envoyer un courriel lorsque Groupe Évangélique de la Parole de Jésus GEPJ publie des nouvelles et des promotions. Votre adresse e-mail ne sera pas utilisée à d'autres fins, et vous pouvez vous désabonner à tout moment.

Partager