01/02/2020
BONJOUR PEUPLES DE DIEU !!!,
MUBARIKIWE KATIKA JINA LA YESU KRISTO.
Watu wengi wanataka wajifanyie na ku jijengea amani, Lakini wame sahau njia iliyo amani ya kweli" Yesu Kristo".
©Utamuona dereva Tax,ana weka sentire de sécurité (mukaba wa ukingo) kwenye kifuwa chake, amesha kunywa pombe, ametoka kwa makahaba, na hakumbuki kutubu hiyo zambi kabla ya ku pandia Gari lake.
Lakini akifanya ajali(accident) hiyo sentire de sécurité ( mukaba wa ukingo) hai muzuwiye kuumiya ao kwa kufa.
© MOTAR: Utamuona mortar ame vaa kofiya ya ukingo kichwani ( casque) na ku ifunga vizuri, Lakini ametoka kwenye viumba ya ulevi( Ngada) amelewa, na wengine kwenye ma chumba ya wa kahaba, ana vaa casque ili roulage asi mufunge, yani wa motard wengi wana ogopa roulage kuliko Mung,lakini wame sahabu k**a YESU Kristo ame waona,hawataki kutubu zambihiyo mbele ya Mungu.
Wapendwa acheni zambi.
©CAPITENE DE BOTH ET DE BATEAU :Utamuona hawa watu wame vala ma jilé de sauvetage( nguo Ya okovu) wa kizani,Labuda Tukizama tuokolewe, lakini wamepanda ndani ya Both ao Bateau ⛵ na labuda wame jilewesha kwa pombe, na wengine wao wametoka katika viumba via makahaba, na wengine wao Wana himiri kutoka ngambo wakiwa wame pakiza kahaba katika Both ao Bateau kusema tutakapo fika tuna fanya usharati, Watu K**a nahao wame sahau kwamba YESU Kristo ndiye sauveur na Yeye anaona mahali popote.
© PILOTE : Hawa watu wako katika hatari nyingi Sana, lakini kwa kutokujuwa, Wana weka Sana tahazari kubwa kuto kusafiri katika ndege pasipo kuweka mukaba wa ukingo( sentire de sécurité) ili wa kingwe angani, wame sahabu yakwamba Mungu ndiye Muomba wa anga, nao piya wamoja wao nawajiwekeya makahaba na kuwalipiya nauli ili watakapofika wa tembeye nao kwa njia yaukahaba, wamesahabu yakwamba Mungu Ana ina mahalipote, na akitaka hiyo ndege ( Avion) inaweza ku anguka kwaajili ya ku muchukiza.
Wapendwa Mungu ndiye kingo la mwanadamu.
©WA KUU WA JESHI NA SERIKALI:
Hawa niwatu wa maana katika taifa, nao utawaona hawajiachililie na kujiwekeya ma garde corps, acha ni kwambie Ya kwamba hiyo nisifatu za hapa duniyani, lakini YESU Kristo ndiye muchungaji mwema.
Utawaona ma asikari Wana chaguwa pombe kuwa kinywaji Chao kipenzi, na wake wasio wandowa zao, wapendwa maaskari acha zambi.
YESU Kristo Ni mulangoni, tupo kwenye saa ya magaribi na asubuyi ni karibu.
Nivizuri ku gawa ujumbe hii kwa wengine, kwa marafiki, na group.
Mungu Akubariki wewe ambaye ume soma naku gawa ujumbe huu..
Mutumishi wa Mungu WETESHE yoshuwa NELSON.