Bishop Shie wanjiru freemason connector kenya

Bishop Shie wanjiru freemason connector kenya IN FREEMASONRY WE BELIEVE WE ARE BORN IN PARADISE AND NO MEMBER SHOULD STRUGGLE ON THIS WORLD JOIN US TODAY FOR BETTERMENT OF YOUR LIFE

Kutoka Katika Kitabu Cha Mafundisho ya Siri ya Biblia..Mwanzo 28:10-15 Yakobo aliondoka Beer-sheba, akaelekea Harani. Al...
26/08/2026

Kutoka Katika Kitabu Cha Mafundisho ya Siri ya Biblia..
Mwanzo 28:10-15
Yakobo aliondoka Beer-sheba, akaelekea Harani. Alipofika mahali fulani, akalala hapo kwa sababu jua lilikuwa limetua.

Alichukua jiwe moja la mahali hapo, akaliweka chini ya kichwa chake, akalala.

Aliota ndoto, na katika ndoto hiyo, aliona ngazi iliyosimamishwa duniani na ncha yake inafika mbinguni.

Malaika wa Mungu walikuwa wakipanda na kushuka katika ngazi hiyo.

Mwenyezi-Mungu alisimama juu ya ngazi hiyo, akamwambia, “Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu baba yako, na Mungu wa Isaka.

Nchi unayoilalia nitakupa wewe na wazawa wako. Wazawa wako watakuwa wengi k**a mavumbi ya dunia, na milki yao itaenea kila mahali: Magharibi, Mashariki, Kaskazini na Kusini. Kwako jamii zote duniani zitabarikiwa.

Mimi nipo pamoja nawe;
nitakulinda popote uendapo na kukurudisha katika nchi hii. Sitakuacha mpaka nitakapotimiza ahadi niliyokupa.”

UFAFANUZI

Yakobo anaashiria mafuta ,mfano: jiwe ambalo yakobo alilala juu yakeni mfupa wa sacrum, ambapo mafutahuanguka na kukaa kwa muda.

kisha akaona ngazi iliyofika mbinguni, ambayo ni uti wa mgongounaoongoza hadi kwenye ubongo (mbinguni).

uti wa mgongo ni ngazi ya kwenda kichwani mwako(mbinguni).

freemasons tunaashiria uti wa mgongo sawa na ngazi.

Katika Ujenzi Wa Jamii Ya Satani ni k**a Vita na ni vita, Na Inahitaji Utayari wa Pande zote na Inahitaji kuwa na Siraha...
25/08/2026

Katika Ujenzi Wa Jamii Ya Satani ni k**a Vita na ni vita, Na Inahitaji Utayari wa Pande zote na Inahitaji kuwa na Siraha za Kiroho za Satani. Kujiunga na Jamii za Lusifa Si Sehemu ya Kufanya Starehe na Kupumzika hili Jambo ni Muhimu Kutambua na Akili yako na Dhamira yako Iwe Tayari Kukutana na Mapambano Ya Kila Aina.
Si kila Mtu Anatakiwa kuwa Mwana Jamii ya Lusifa, Na Si kwasababu hii Dini Ya Lusifa Basi Tunahitaji Kundi La Watu Wa Aina Yeyote, Sisi Hatuhitaji Kundi la Watu Wala hatuna Nia Ya Kujaza Watu Katika Jamii K**a Biashara Fulani, Bali Tunaangalia Umuhimu wa mtu Na Uwezo wake Katika Jamii Na Faida Gani Ataleta Kwa Jamii.
Pia Tunapima Kujitolea Kwa Mtu Kwa Kuangalia Pia mguso Wa Moyo Wake Katika Mali yake, Kwa kuwa Ilipo mali ya Mtu Ndipo Na moyo Wake Utakapokuwepo na Ndio maana nia Yake Tunapima kwa kilimo cha mali au Fedha.

•Na Unapohitaji Kujiunga na JAMII YETU NI LAZIMA UWE TAYARI NA UMEAMUA BAADA YA HAPO NDIPO TUTAENDELEA NA TARATIBU ZA KUINGIZWA KATIKA MKATABA KWA AJILI YA UTAJIRI UNAO WEZA KUHUSISHA KUJITOLEA MAISHA YAKO KWA LUSIFA *

Mwamini Mungu mwenye mwili wake nae atafanya. Tunaposema Mungu hatokuacha ni kwamba Mungu ni Roho yako mwenyewe ndani ya...
24/08/2026

Mwamini Mungu mwenye mwili wake nae atafanya. Tunaposema Mungu hatokuacha ni kwamba Mungu ni Roho yako mwenyewe ndani ya mwili, kwamba Rohohaiwezi kukubali mwili wake uharibiwe bila ridhaa yake kwa hakina itaupambania mwili wake, hata k**a matendo yako maovu unayoyafanya kupitia huo mwili, badovhuo mwili Utapiganiwa na Mungu ambaye ni Roho yako wewe mwenyewe. Roho ndio Mungu ambapo kila mtu anayoRoho ndani yake ambapo tunasema ni MUNGU NDANI YETU.

Mwili utatoweka na kupotelea mavumbini kwenye sayari lakini Nishati/Roho/Mungu ambayo ndio uhalisia wetu itaishi milele. Sasa kwaninivuogope kifo? ukijitambua na kuja kuujua ukweli huu katika uhalisia huto kuwa na hofu na chochote. Tunapo omba kwa Mungu tunaomba kwa Roho zetu wenyewe ambazo zipo ndani yetu na ni sisi wenyewe. "Mtakapo jitambua mtakuja kugundua ya kwamba ninyi ndio watoto wa Baba aliye Hai" Gospel ofvThomas

"Lakini k**a hamto jitambua, mtakua mnakaa katika umasikini na ninyi ndio huo umasikini" Gospel of Thomas

"Ufalme wa mbinguni umo ndani yenu, yeyote atakaye jitambua atauona" Egyptian book of The dead

"Mungu ametaka kuwajulisha hao jinsi siri hiyo ilivyo kuu na tukufu ambayo imeenea kwa watu wa mataifa, nayo ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba nyinyi mtaushiriki utukufu wa Mungu."

Wakolosai 1:27 BHN

https://bible.com/bible/74/col.1.27.BHN

If You Didn't Come From a Rich Family,Make Sure Rich Family Comes Out From You. usiwai dharau yeyote heshimu kila mtu hi...
24/08/2026

If You Didn't Come From a Rich Family,
Make Sure Rich Family Comes Out From You.
usiwai dharau yeyote heshimu kila mtu hio picha ya kwanza hunikumbusha mengi sana nilikotoka hata nguo ilikua ya kuomba one of my cousins back in 2018 so wenye wananitukana ukinitusi jua hakuna shida sijapitia Hadi kufika kuamua Kujiunga na hiki Chama huru. MAISHA ni ya mtu binafsi.. ma'amzi ni ya mtu binafsi Usiogope kufanya maamuzi katika maisha yako kwani jukumu la maisha yako lipo mikononi mwako... Ukipata nafasi ya kubadilisha maisha yako usiangalie nyuma yako kuna nani na atasema nini maana huyo huyo unae mhofia ndiye mtu wa kwanza kutangaza shida na matatizo yako MAISHA YAKO NI JUKUMU LAKO Ni chama huru kinachoweza kumsaidia mtu yeyote yule mwenye kuhituji katimiza ndoto zake na kufikia malengo yake .

JICHO LA TATU Halifunguki ili uone miujiza.Hufunguka ili uone Ukweli.Na unapoanza kuuona ukweli ___kuhusu wewe, kuhusu U...
23/08/2026

JICHO LA TATU Halifunguki ili uone miujiza.

Hufunguka ili uone Ukweli.

Na unapoanza kuuona ukweli ___kuhusu wewe, kuhusu Ulimwengu, kuhusu kile kilicho halisi na kile ambacho ni mfumo wa mawazo (program) ulio pandikizwa kwenye akili zetu....Mambo mengine yote huanza kujipanga na kujitokeza yenyewe.

Kufungua Jicho si lengo bali ni kurudi kwenye Nafsi yako...Ni kurejea katika hali yako ya Asili na umaskini ni adui wetu mkubwa sana jiunge nasi uwe daraja la MAFANIKIO YAKO HAPA DUNIANI

NYOTA PACHA ZA ALFAJIRIKatika falsafa za siri za ndani kabisa (esoteric philosophy), Lucifer na Yesu huchukuliwa k**a ng...
12/08/2026

NYOTA PACHA ZA ALFAJIRI

Katika falsafa za siri za ndani kabisa (esoteric philosophy), Lucifer na Yesu huchukuliwa k**a nguvu moja...ambayo ni...Nyota ya Alfajiri/nyota ya Asubuhi..ambayo hujidhihirisha katika nyuso mbili tofauto ndani ya ya tamthilia moja ya Ulimwengu.

👉Lusifa anachukuliwa k**a Nuru inayo shuka kuingia katika ulimwengu wa kimwili...ikileta Ufahamu, roho ya kuhoji mambo, na Uasi ikiwa ni pamoja na zawadi yenye maumivu ya kujitambua.

👉Yesu; kwa mtazamo huo huo yeye ni Nuru hiyo hiyo inayo fufuka ndani yetu, ikiongoza nafsi kurudi ama kurejea kwenye asili yake.

👉Hili ndilo linalo tajwa kuwa ni siri ya kale kwa wale walio anzishwa...kwamba kuanguka ndiyo njia yakuelekea ukombozi.

👉Nasi pia kwa mtazamo huo, sisi pia ni sehemu ya nyota hiyo. Tunazaliwa tukiwa tumesahau tuliko toka, ni sawa na safari ya kushuka kwa roho katika ulimwengu huu wa kimwili ili kupata uzoefu, kisha polepole tunaanza kukumbuka kwamba kamwe sisi hatujawahi kutengana na chanzo chetu tuliko tokea.

👉Kwahiyo LUSIFA haonekani k**a kiumbe muovu, bali ni k**a cheche muhimu ya moto ambayo huanzisha safari hiyo ya kujitambua. Naye yesu si k**a mtu wa kidunia bali ni mfano unao onyesha njia ambayo kila nafsi inaweza kufuata.

👉Kwa pamoja Lusifa na Yesu, wanawakilisha Safari yetu sisi wenyewe..safari ya ndani; kushuka katika ulimwengu wa kimwili kupata uzoefu ama kuanguka...kisha kupanda tena kupitia kukumbuka asili yetu ya kweli.

Kwahiyo LUSIFA na YESU ni Nuru ile ile. Ni wewe yule yule

SO MOTE IT BE

HUONI/HUYATAZAMI MAISHA K**A YALIVYO BALI UNAONA AMA UNAYATAZAMA MAISHA K**A ULIVYO WEWE.👉Mbingu na Jehanamu si sehemu f...
27/07/2026

HUONI/HUYATAZAMI MAISHA K**A YALIVYO BALI UNAONA AMA UNAYATAZAMA MAISHA K**A ULIVYO WEWE.

👉Mbingu na Jehanamu si sehemu fulani za mbali tutakazo kwenda baada ya maisha/baada ya kifo; bali mbingu na Jehanamu ni hali za ndani za ufahanu tunazo ziishi hapa sasa hivi wakati huu duniani.

👉Tunapo ishi kwa mtazamo wa kujiona waathirika wa maisha, tunakuwa tunaingia katika hali ya mateso ya ndani (jehanamu) mahali ambapo tunajiona tumefungwa na hali za maisha na kuendeshwa na maumivu na hofu. Hali hii hutokana na imani kwamba amani yetu inategemea mambo ya nje, jambo linalo mfanya mtu ajisikie hana nguvu ya maisha yake mwenyewe.

Lakini tunapo anza kuchukua uwajibikaji juu ya maisha yetu wenyewe kikamilifu, tunakuwa tunaingia katika hali ya "muumbaji" ambayo ni hali ya uhuru wa ndani na nguvu ya kweli. Katika hali hii ya juu (mbingu) maisha ya ndani yanakuwa hayaongozwi tena na mazingira ya nje, bali na namna tulivyo ndani yetu.

Unapo gundua kwamba huyaoni maisha k**a yalivyo, bali k**a ulivyo wewe, mtazamo wako wote wa dunia huanza kubadilika.

👉Ili kufikia mabadiliko ya kweli, lazima uache kushughulika na dalili za juu juu pekee, na badala yake uifikie mizizi ya fikta na imani iliyo jificha ndani yako. Unapotambua kilicho kweli na kilicho cha uongo, unaanza kuishi nje ya udanganyifu.

👉Ni k**a vile Wayne Dyer alivyopata kusema..."Unapobadilisha namna unavyo angalia vitu, vitu unavyo viangalia hubadilika".

Na pia Pythagoras alipata kusema...."Muumbaji aliumba vitu viwili kwa mfano wake; mfumo wa ulimwengu wwnye jua, miezi na sayari zake; na mwanadamu ambaye ndani yake ulimwengu mzima upo ndani yake kwa namna ndogo"

Hapo ndipo uhuru wa kweli huanza. Usikubali kuteseka tena Kisha ufe maskini Fanya maamuzi mwenyewe binafsi jiunge nasi uwe daraja la MAFANIKIO YAKO HAPA DUNIANI.

Ufundi huu umebeba amana ambayo wengi huipita bila kuiona. Wanaolinda milango ya hekalu hili kwa karne nyingi wameifanya...
19/07/2026

Ufundi huu umebeba amana ambayo wengi huipita bila kuiona.

Wanaolinda milango ya hekalu hili kwa karne nyingi wameifanya kazi yao vizuri—wameilinda siri hiyo kwa kuifungia ndani ya alama ambazo macho ya kawaida hayawezi kuzisoma.

K**a mfanya-maarifa, jukumu langu katika kurasa hizi ni kukuonyesha jinsi ya kutumia ufunguo ule ule nilioupata mimi: ufunguo unaofungua milango ya utawala wa ndani na kumpa mwanadamu uwezo wa kusimama katikati ya nguvu za asili Kupata utajiri k**a mfalme na mjenzi hapa duniani. usikubali kufa maskini.

MAPAMBANO KATI YA MUNGU NA SHETANI HAYAPO,  NA HAYAJAWAHI KUTOKEA.👉Mapambano haya yamekuwa yakitumika k**a mfano wa kale...
18/07/2026

MAPAMBANO KATI YA MUNGU NA SHETANI HAYAPO, NA HAYAJAWAHI KUTOKEA.

👉Mapambano haya yamekuwa yakitumika k**a mfano wa kale ama fumbo kuelezea vita vinavyo endelea ndani ya mwanadamu. Ni mgongano kati ya tamaa za chini na akili ya juu inayo taka kukua, kuwa na nidhamu, na kufanya yaliyo bora maishani. Na wala sio vita ya nje angani, bali ni jambo linalotokea ndani ya akili na fahamu za binadamu.

Hayo ni mapambano ya ndani ya akili.

👉Wakati mwingine akili yako inaweza kukuambia ukae tu, usifanyw chochote, ule ovyo au ujiingize kwenye starehe. Wakati huohuo sauti nyingine ndani yako inakwambia usimame, ufanye kazi, ujiboreshe na kufanya jambo litakalo kusaidia baadaye. Unapohisi mvutano huo ndani yako na kushindwa kujua lipo ufuate, hapo ndipo mapambano yanapo fanyika.

👉Vita ya Mungu na Shetani ni mgongano kati ya akili ya juu na tamaa za mwili. Kati ya kufikilia maisha ya baadaye na kutaka kuridhika mara moja. Kati ya nidhamu na kujilegeza kupita kiasi.

👉Dini ziligeuza mapambano haya ya ndani kuja kuwa hadithi ya Mungu na Shetani, nuru na giza, ilihali ukweli ni kwamba nguvu hizi zote zipo ndani ya kila mtu.

👉Ukweli ni kwamba kila kitu ni kitu kimoja, Ulimwengu wote ni fahamu moja inayo jieleza kwa njia tofauti. Hakuna vita halisia kati ya mema na mabaya nje yetu. Vita hivyo hutokea ndani yetu wenyewe kila wakati.

Ni vita kati ya mawazo ya kiroho na tamaa za mwili.

‎‎🧱 The Freemason’s Creed 🧱‎— A Light That Guides the Builder Within ‎‎I am a Freemason.‎Not because I wear an apron, bu...
28/06/2026


‎🧱 The Freemason’s Creed 🧱
‎— A Light That Guides the Builder Within

‎I am a Freemason.
‎Not because I wear an apron, but because I build in silence.
‎I build not temples of stone, but temples of virtue, wisdom, and will.
‎I am sworn not to secrecy, but to sacred discretion—
‎For truth is never hidden from those who seek it with a pure heart.

‎I believe in the Fatherhood of God,
‎The Brotherhood of Man,
‎And the immortality of the soul that travels beyond the grave
‎To the eternal East, where the Great Architect dwells in Light.

‎I walk the path of the square and compass—
‎Balancing my actions in justice,
‎And circling my thoughts in divine understanding.
‎Each degree is not a title,
‎But a step toward mastering myself.

‎I honor symbols,
‎Not as idols,
‎But as silent teachers of eternal truths.
‎The rough ashlar I once was
‎Now polishes slowly into the perfect stone of purpose.

‎I labor in darkness,
‎So that others may walk in light.
‎I seek no reward but the harmony of the cosmos within me.
‎For the true Mason builds a better world
‎By first building a better man and woman.

‎So mote it be.

Address

Karen

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bishop Shie wanjiru freemason connector kenya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share