07/11/2021
Halllo nyingi nyote. Tuchague kidogo leo.. swali ni... Je twaweza kufanya nini nyanjani ili kuendeleza lugha ya kiswahili nchini Uganda hasa hasa eneo lako?
Kiswahili ni lugha nzuri na inapenda na watu wote . Kutoka nchini na nje ya Afrika.. huu ni sababu nimefunga hii ukurasa ya facebook. Hili tufunze kiswahili..
Gulu
Be the first to know and let us send you an email when Kiswahili nguzo ya umoja posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.
Send a message to Kiswahili nguzo ya umoja: